Zaburi 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Onjeni mwone kwamba Yehova ni mwema;+Mwenye furaha ni mtu anayemkimbilia. Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+ Isaya 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Utawalinda wale wanaokutegemea kikamili;*Utawapa amani inayodumu,+Kwa sababu wanakutumaini wewe.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+ Isaya 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Utawalinda wale wanaokutegemea kikamili;*Utawapa amani inayodumu,+Kwa sababu wanakutumaini wewe.+