Zaburi 119:165 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi;+Hakuna chochote kinachoweza kuwakwaza.* Isaya 54:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana* wako wote watafundishwa na Yehova,+Na amani ya wana* wako itakuwa nyingi.+ Wafilipi 4:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ 7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.
6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ 7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.