Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+

       3 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,

      Mti unaozaa matunda katika majira yake,

      Na majani yake hayanyauki.

      Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+

  • Methali 3:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwanangu, usisahau mafundisho* yangu,

      Na moyo wako ushike amri zangu,

       2 Kwa sababu zitakuongezea siku nyingi

      Na miaka ya uhai na amani.+

  • Isaya 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Matokeo ya uadilifu wa kweli yatakuwa amani,+

      Na mazao ya uadilifu wa kweli yatakuwa utulivu wa kudumu na usalama wa kudumu.+

  • Isaya 48:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+

      Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+

      Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki