Zaburi 1:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+ 3 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,Mti unaozaa matunda katika majira yake,Na majani yake hayanyauki. Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+ Methali 3:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanangu, usisahau mafundisho* yangu,Na moyo wako ushike amri zangu, 2 Kwa sababu zitakuongezea siku nyingiNa miaka ya uhai na amani.+ Isaya 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Matokeo ya uadilifu wa kweli yatakuwa amani,+Na mazao ya uadilifu wa kweli yatakuwa utulivu wa kudumu na usalama wa kudumu.+ Isaya 48:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+
2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+ 3 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,Mti unaozaa matunda katika majira yake,Na majani yake hayanyauki. Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+
3 Mwanangu, usisahau mafundisho* yangu,Na moyo wako ushike amri zangu, 2 Kwa sababu zitakuongezea siku nyingiNa miaka ya uhai na amani.+
17 Matokeo ya uadilifu wa kweli yatakuwa amani,+Na mazao ya uadilifu wa kweli yatakuwa utulivu wa kudumu na usalama wa kudumu.+
18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+