Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:165
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi;+

      Hakuna chochote kinachoweza kuwakwaza.*

  • Isaya 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watu wangu watakaa katika makao ya kudumu yenye amani,

      Katika makao salama na mahali pa kupumzika penye utulivu.+

  • Isaya 66:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova anasema hivi:

      “Tazama, ninampa amani kama mto+

      Na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika.+

      Mtanyonya na kubebwa kiunoni,

      Nanyi mtachezeshwa kwenye magoti yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki