7 Amebarikiwa mtu anayemtumaini Yehova,
Ambaye uhakika wake uko katika Yehova.+
8 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji,
Unaopeleka mizizi yake kwenye kijito.
Hatatambua joto linapokuja,
Bali majani yake yatasitawi sikuzote.+
Naye hatakuwa na mahangaiko katika mwaka wa ukame,
Wala hataacha kuzaa matunda.