Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Utafanikiwa ikiwa utashika kwa uangalifu masharti+ na sheria* ambazo Yehova alimwamuru Musa awape Waisraeli.+ Uwe jasiri na imara. Usiogope wala usihofu.+

  • Yeremia 17:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Amebarikiwa mtu* anayemtumaini Yehova,

      Ambaye uhakika wake uko katika Yehova.+

       8 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji,

      Unaopeleka mizizi yake kwenye kijito.

      Hatatambua joto linapokuja,

      Bali majani yake yatasitawi sikuzote.+

      Naye hatakuwa na mahangaiko katika mwaka wa ukame,

      Wala hataacha kuzaa matunda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki