Zaburi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,Mti unaozaa matunda katika majira yake,Na majani yake hayanyauki. Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+ Zaburi 92:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini waadilifu watasitawi kama mtendeNa kuwa wakubwa kama mwerezi kule Lebanoni.+ 13 Wamepandwa katika nyumba ya Yehova;Wanasitawi katika nyua za Mungu wetu.+
3 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,Mti unaozaa matunda katika majira yake,Na majani yake hayanyauki. Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+
12 Lakini waadilifu watasitawi kama mtendeNa kuwa wakubwa kama mwerezi kule Lebanoni.+ 13 Wamepandwa katika nyumba ya Yehova;Wanasitawi katika nyua za Mungu wetu.+