Mambo ya Walawi 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nitawaletea mvua katika majira yanayofaa,+ nayo nchi itazaa kwa wingi,+ na miti ya matunda itazaa matunda mengi. Zaburi 67:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Dunia itatoa mazao yake;+Mungu, Mungu wetu, atatubariki.+ Isaya 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mlima huu+ Yehova wa majeshi atawaandalia watu wa mataifa yoteKaramu ya vyakula vinono,+Karamu ya divai bora,*Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo,Ya divai bora, iliyochujwa. Isaya 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye ataleta mvua kwa ajili ya mbegu mtakazopanda ardhini,+ na chakula* kitakachotoka ardhini kitakuwa kingi na chenye lishe.*+ Siku hiyo mifugo yenu italisha katika malisho makubwa.+
4 nitawaletea mvua katika majira yanayofaa,+ nayo nchi itazaa kwa wingi,+ na miti ya matunda itazaa matunda mengi.
6 Katika mlima huu+ Yehova wa majeshi atawaandalia watu wa mataifa yoteKaramu ya vyakula vinono,+Karamu ya divai bora,*Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo,Ya divai bora, iliyochujwa.
23 Naye ataleta mvua kwa ajili ya mbegu mtakazopanda ardhini,+ na chakula* kitakachotoka ardhini kitakuwa kingi na chenye lishe.*+ Siku hiyo mifugo yenu italisha katika malisho makubwa.+