Zaburi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+ Zaburi 54:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wageni wanainuka dhidi yangu,Na wanaume wakatili wanatafuta uhai wangu.*+ Hawamheshimu Mungu.*+ (Sela)
3 Kwa maana wageni wanainuka dhidi yangu,Na wanaume wakatili wanatafuta uhai wangu.*+ Hawamheshimu Mungu.*+ (Sela)