Ayubu 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Macho yangu yanafifia kwa sababu ya maumivu makali,+Na viungo vyangu vyote ni kivuli tu. Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu ni chakula changu usiku na mchana;Mchana kutwa watu wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+ Maombolezo 3:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Macho yangu yanamwaga machozi bila kikomo, hayapumziki,+
3 Machozi yangu ni chakula changu usiku na mchana;Mchana kutwa watu wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+