Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Macho yangu yanafifia kwa sababu ya maumivu makali,+

      Na viungo vyangu vyote ni kivuli tu.

  • Zaburi 42:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Machozi yangu ni chakula changu usiku na mchana;

      Mchana kutwa watu wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+

  • Maombolezo 3:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Macho yangu yanamwaga machozi bila kikomo, hayapumziki,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki