Yeremia 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana. Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.
17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana.
16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.