Zaburi 55:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jioni na asubuhi na adhuhuri, ninahangaika na kulia kwa uchungu,*+Naye huisikia sauti yangu.+ Zaburi 119:147 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 147 Nimeamka kabla ya mapambazuko* ili nililie msaada,+Kwa maana maneno yako ni tumaini langu.*