Zaburi 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, utasikia sauti yangu asubuhi;+Asubuhi nitakueleza mahangaiko yangu+ na kusubiri kwa hamu. Zaburi 88:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini bado ninakulilia unisaidie, Ee Yehova,+Kila asubuhi sala yangu inakufikia.+ Marko 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+
3 Ee Yehova, utasikia sauti yangu asubuhi;+Asubuhi nitakueleza mahangaiko yangu+ na kusubiri kwa hamu.
35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+