42 Hata hivyo, kulipopambazuka, akaenda mahali pasipo na watu.+ Lakini umati ukaanza kumtafuta* na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia asiondoke.
7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.