Marko 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini baada ya kuwaaga, akaenda mlimani kusali.+ Luka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku moja, Yesu alienda mlimani kusali,+ naye akasali kwa Mungu usiku wote.+ Luka 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye, alipokuwa akisali akiwa peke yake, wanafunzi wakaja, naye akawauliza: “Umati unasema mimi ni nani?”+
18 Baadaye, alipokuwa akisali akiwa peke yake, wanafunzi wakaja, naye akawauliza: “Umati unasema mimi ni nani?”+