Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini unaposali, ingia ndani ya chumba chako faraghani, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri.+ Naye Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.

  • Mathayo 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Baada ya kuuaga umati, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ilipofika jioni, alikuwa peke yake huko.

  • Marko 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+

  • Luka 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku moja, Yesu alienda mlimani kusali,+ naye akasali kwa Mungu usiku wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki