Mathayo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini unaposali, ingia ndani ya chumba chako faraghani, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri.+ Naye Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa. Mathayo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya kuuaga umati, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ilipofika jioni, alikuwa peke yake huko. Marko 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+ Luka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku moja, Yesu alienda mlimani kusali,+ naye akasali kwa Mungu usiku wote.+
6 Lakini unaposali, ingia ndani ya chumba chako faraghani, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri.+ Naye Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.
23 Baada ya kuuaga umati, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ilipofika jioni, alikuwa peke yake huko.
35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+