Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndugu zangu wenyewe amewafukuza mbali nami,

      Na wale wanaonijua wamegeuka na kuniacha.+

  • Zaburi 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ninadhihakiwa na maadui wangu wote,+

      Hasa majirani wangu.

      Na rafiki zangu wananiogopa;

      Wanaponiona hadharani, wananikimbia.+

  • Zaburi 38:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Rafiki zangu na wenzangu wananiepuka kwa sababu ya pigo langu,

      Na rafiki zangu wa karibu wanasimama mbali.

  • Zaburi 142:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tazama upande wa mkono wangu wa kulia uone+

      Kwamba hakuna yeyote anayenijali.*

      Sina mahali popote pa kukimbilia;+

      Hakuna yeyote anayenihangaikia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki