Zaburi 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,Ninadhihakiwa na wanadamu na kudharauliwa na watu.*+ Zaburi 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Maadui wangu wananidhihaki kwa chuki kali sana;** Mchana kutwa wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 102:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mchana kutwa maadui wangu wananidhihaki.+ Wale wanaonidhihaki* wanatumia jina langu kama laana.
10 Maadui wangu wananidhihaki kwa chuki kali sana;** Mchana kutwa wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+