Zaburi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wengi wanasema hivi kunihusu:* “Mungu hatamwokoa.”+ (Sela)* Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu ni chakula changu usiku na mchana;Mchana kutwa watu wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 79:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+ Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetuKwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+
3 Machozi yangu ni chakula changu usiku na mchana;Mchana kutwa watu wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+
10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+ Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetuKwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+