Mhubiri 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hili ndilo jambo pekee nililopata: Mungu wa kweli aliwaumba wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wamejitafutia mipango mingi.”+
29 Hili ndilo jambo pekee nililopata: Mungu wa kweli aliwaumba wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wamejitafutia mipango mingi.”+