Mwanzo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+ Mwanzo 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baada ya hayo Mungu akaona kila kitu alichoumba, na tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.
26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+
31 Baada ya hayo Mungu akaona kila kitu alichoumba, na tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.