Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi sana, Ee Yehova!+ Umezifanya zote kwa hekima.+ Dunia imejaa vitu ulivyoumba. 1 Timotheo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ ikiwa kinapokewa kwa shukrani,
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi sana, Ee Yehova!+ Umezifanya zote kwa hekima.+ Dunia imejaa vitu ulivyoumba.
4 Kwa sababu kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ ikiwa kinapokewa kwa shukrani,