2 Samweli 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Upendo wangu mshikamanifu hautaondolewa kwake kama nilivyouondoa kwa Sauli,+ niliyemwondoa kutoka mbele yako. 1 Mambo ya Nyakati 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Sitauondoa upendo wangu mshikamanifu kutoka kwake+ kama nilivyouondoa kutoka kwa yule aliyekutangulia.+ Matendo 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na uhakika wa kwamba Yeye alimfufua kutoka kwa wafu ili asirudi tena kwenye uharibifu, Yeye ameutaja kwa njia hii: ‘Nitawaonyesha upendo mshikamanifu, ambao ni wa uaminifu,* alioahidiwa Daudi.’+
15 Upendo wangu mshikamanifu hautaondolewa kwake kama nilivyouondoa kwa Sauli,+ niliyemwondoa kutoka mbele yako.
13 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Sitauondoa upendo wangu mshikamanifu kutoka kwake+ kama nilivyouondoa kutoka kwa yule aliyekutangulia.+
34 Na uhakika wa kwamba Yeye alimfufua kutoka kwa wafu ili asirudi tena kwenye uharibifu, Yeye ameutaja kwa njia hii: ‘Nitawaonyesha upendo mshikamanifu, ambao ni wa uaminifu,* alioahidiwa Daudi.’+