2 Samweli 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+ 1 Wafalme 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yehova akatokeza mtu wa kumpinga Sulemani,+ yaani, Hadadi Mwedomu, wa ukoo wa kifalme wa Edomu.+ 1 Wafalme 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha akamwambia Yeroboamu: “Jichukulie vipande kumi, kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Tazama, ninaurarua ufalme kutoka mikononi mwa Sulemani, nami nitakupa makabila kumi.+
14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+
14 Ndipo Yehova akatokeza mtu wa kumpinga Sulemani,+ yaani, Hadadi Mwedomu, wa ukoo wa kifalme wa Edomu.+
31 Kisha akamwambia Yeroboamu: “Jichukulie vipande kumi, kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Tazama, ninaurarua ufalme kutoka mikononi mwa Sulemani, nami nitakupa makabila kumi.+