32 Lakini atabaki na kabila moja+ kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi+ na kwa ajili ya Yerusalemu, jiji ambalo nimechagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli.+
36 Nitampa mwana wake kabila moja, ili sikuzote Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia liwe mahali pa kuweka jina langu.