29 Basi na ufurahie kuibariki nyumba yangu mimi mtumishi wako, na idumu milele mbele zako;+ kwa sababu wewe, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeahidi, na kwa baraka yako, nyumba yangu mimi mtumishi wako na ibarikiwe milele.”+
4 Hata hivyo, kwa sababu ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa huko Yerusalemu+ kwa kumwinua mwana wake atawale baada yake na kufanya jiji la Yerusalemu lidumu.