36 Nitampa mwana wake kabila moja, ili sikuzote Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia liwe mahali pa kuweka jina langu.
7 Lakini Yehova hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi kwa sababu ya agano alilokuwa amefanya pamoja na Daudi,+ kwa maana alikuwa ameahidi kumpa taa, yeye na wanawe, sikuzote.+