36 Nitampa mwana wake kabila moja, ili sikuzote Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia liwe mahali pa kuweka jina langu.
4 Hata hivyo, kwa sababu ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa huko Yerusalemu+ kwa kumwinua mwana wake atawale baada yake na kufanya jiji la Yerusalemu lidumu.
7 Lakini Yehova hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi kwa sababu ya agano alilokuwa amefanya pamoja na Daudi,+ kwa maana alikuwa ameahidi kumpa taa, yeye na wanawe, sikuzote.+