Waroma 11:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na kwa njia hii Israeli wote+ wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi* atakuja kutoka Sayuni+ na kuondoa mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo. 27 Na hili ndilo agano langu pamoja nao,+ nitakapoondoa dhambi zao.”+
26 na kwa njia hii Israeli wote+ wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi* atakuja kutoka Sayuni+ na kuondoa mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo. 27 Na hili ndilo agano langu pamoja nao,+ nitakapoondoa dhambi zao.”+