Waroma 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa ya mtu huyo hutoka kwa Mungu, si kwa wanadamu.+ Waroma 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu limeshindwa. Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kihalisi.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa ya mtu huyo hutoka kwa Mungu, si kwa wanadamu.+
6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu limeshindwa. Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kihalisi.+
29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+