Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,” Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+ Naam, Yule anayekutazama atajuaNaye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+
12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,” Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+ Naam, Yule anayekutazama atajuaNaye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+
13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+