Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+ Mathayo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini, kwa maana imeandikwa: ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe,’ nao ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+ Luka 4:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa maana imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe, ili wakulinde,’ 11 nao, ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+
24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+
6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini, kwa maana imeandikwa: ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe,’ nao ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+
10 kwa maana imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe, ili wakulinde,’ 11 nao, ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+