Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+

      Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+

  • Mathayo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini, kwa maana imeandikwa: ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe,’ nao ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+

  • Luka 4:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa maana imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe, ili wakulinde,’ 11 nao, ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki