Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi ulivyotenda mambo mengi sana,Ee Yehova Mungu wangu,Kazi zako zinazostaajabisha na mawazo yako kutuelekea.+ Hakuna yeyote anayeweza kulinganishwa nawe;+Ikiwa ningejaribu kusimulia na kuongea kuzihusu,Zingekuwa nyingi sana kwangu kusimulia!+ Zaburi 145:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi baada ya kizazi kitasifu kazi zako;Watasimulia matendo yako yenye nguvu.+ Mhubiri 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Amefanya kila kitu kipendeze* kwa wakati wake.+ Hata ameweka umilele katika moyo wao; lakini bado wanadamu hawatajua kamwe kazi ambayo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho. Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
5 Jinsi ulivyotenda mambo mengi sana,Ee Yehova Mungu wangu,Kazi zako zinazostaajabisha na mawazo yako kutuelekea.+ Hakuna yeyote anayeweza kulinganishwa nawe;+Ikiwa ningejaribu kusimulia na kuongea kuzihusu,Zingekuwa nyingi sana kwangu kusimulia!+
11 Amefanya kila kitu kipendeze* kwa wakati wake.+ Hata ameweka umilele katika moyo wao; lakini bado wanadamu hawatajua kamwe kazi ambayo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+