Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Jinsi ulivyotenda mambo mengi sana,

      Ee Yehova Mungu wangu,

      Kazi zako zinazostaajabisha na mawazo yako kutuelekea.+

      Hakuna yeyote anayeweza kulinganishwa nawe;+

      Ikiwa ningejaribu kusimulia na kuongea kuzihusu,

      Zingekuwa nyingi sana kwangu kusimulia!+

  • Zaburi 145:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kizazi baada ya kizazi kitasifu kazi zako;

      Watasimulia matendo yako yenye nguvu.+

  • Mhubiri 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Amefanya kila kitu kipendeze* kwa wakati wake.+ Hata ameweka umilele katika moyo wao; lakini bado wanadamu hawatajua kamwe kazi ambayo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki