Mwanzo 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baada ya hayo Mungu akaona kila kitu alichoumba, na tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita. Waroma 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sifa zake zisizoonekana, zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.
31 Baada ya hayo Mungu akaona kila kitu alichoumba, na tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.
20 Kwa maana sifa zake zisizoonekana, zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.