Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho.
14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+
14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho.