Zaburi 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mpendeni Yehova, enyi nyote mlio washikamanifu kwake!+ Yehova huwalinda waaminifu,+Lakini humlipa vilivyo yeyote anayeonyesha kiburi.+
23 Mpendeni Yehova, enyi nyote mlio washikamanifu kwake!+ Yehova huwalinda waaminifu,+Lakini humlipa vilivyo yeyote anayeonyesha kiburi.+