1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+ Zaburi 145:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova huwalinda wale wote wanaompenda,+Lakini atawaangamiza waovu wote.+
9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+