Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 59:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Niokoe kutoka kwa wale wanaotenda uovu,

      Na uniokoe kutoka kwa watu wakatili.*

  • Zaburi 59:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Tazama kinachomwagika* kutoka katika kinywa chao;

      Midomo yao ni kama panga,+

      Kwa maana wanauliza: “Ni nani anayesikiliza?”+

  • Ezekieli 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, umeona mambo ambayo wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya gizani, kila mmoja akiwa katika vyumba vya ndani ambamo sanamu zake za kuchongwa zimewekwa ili zionekane?* Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuoni. Yehova ameiacha nchi hii.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki