Isaya 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+
3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+