Kutoka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa ninajua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu mingine yote,+ kwa sababu ya mambo aliyowafanyia wale waliowatendea watu wake kwa kiburi.” Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiogope,Wala msilemazwe na woga.+ Je, sikumwambia kila mmoja wenu mapema na kutangaza jambo hilo? Ninyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi yangu? Hapana, hakuna Mwamba mwingine;+ simjui mwingine.’”
11 Sasa ninajua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu mingine yote,+ kwa sababu ya mambo aliyowafanyia wale waliowatendea watu wake kwa kiburi.”
8 Msiogope,Wala msilemazwe na woga.+ Je, sikumwambia kila mmoja wenu mapema na kutangaza jambo hilo? Ninyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi yangu? Hapana, hakuna Mwamba mwingine;+ simjui mwingine.’”