Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+ Zaburi 95:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu,Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote.+ Zaburi 97:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;Umekwezwa juu zaidi ya miungu mingine yote.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+
9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;Umekwezwa juu zaidi ya miungu mingine yote.+