Kumbukumbu la Torati 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana niliogopa sana kwa sababu Yehova alikuwa amewakasirikia sana,+ naye alitaka kuwaangamiza. Hata hivyo, Yehova alinisikiliza wakati huo pia.+
19 Kwa maana niliogopa sana kwa sababu Yehova alikuwa amewakasirikia sana,+ naye alitaka kuwaangamiza. Hata hivyo, Yehova alinisikiliza wakati huo pia.+