1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+ Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kila mmoja alimwambia mwenzake: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Dunia yote imejaa utukufu wake.”
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+
3 Na kila mmoja alimwambia mwenzake: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Dunia yote imejaa utukufu wake.”