12 Mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu, binti zenu, watumwa wenu wa kiume na wa kike, na Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji* yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+
10 Akawaambia: “Nendeni mkale vitu bora* na kunywa vitu vitamu, na muwapelekee mafungu ya vyakula+ wale ambao hawana chochote; kwa maana hii ni siku takatifu kwa Bwana wetu, nanyi msihuzunike, kwa maana shangwe ya Yehova ndiyo ngome* yenu.”