Kutoka 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya muda mrefu,* mfalme wa Misri akafa,+ lakini Waisraeli wakaendelea kulia kwa uchungu kwa sababu ya utumwa na kupaza kilio cha malalamishi, na kilio chao cha kuomba msaada kwa sababu ya utumwa kikaendelea kupanda juu kwa Mungu wa kweli.+
23 Baada ya muda mrefu,* mfalme wa Misri akafa,+ lakini Waisraeli wakaendelea kulia kwa uchungu kwa sababu ya utumwa na kupaza kilio cha malalamishi, na kilio chao cha kuomba msaada kwa sababu ya utumwa kikaendelea kupanda juu kwa Mungu wa kweli.+