Ezekieli 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale viumbe hai walionekana kama makaa ya moto yanayowaka, na kitu kilichofanana na mienge ya moto mwangavu kilikuwa kikisonga mbele na nyuma katikati ya hao viumbe hai, na radi ilikuwa ikiwakawaka kutoka katika ule moto.+ Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?
13 Na wale viumbe hai walionekana kama makaa ya moto yanayowaka, na kitu kilichofanana na mienge ya moto mwangavu kilikuwa kikisonga mbele na nyuma katikati ya hao viumbe hai, na radi ilikuwa ikiwakawaka kutoka katika ule moto.+
7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+
14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?