Zaburi 37:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mkabidhi* Yehova njia yako;+Mtegemee yeye, naye atatenda kwa niaba yako.+ 6 Ataufanya uadilifu wako ung’ae kama mapambazuko,Na haki yako kama jua la adhuhuri.
5 Mkabidhi* Yehova njia yako;+Mtegemee yeye, naye atatenda kwa niaba yako.+ 6 Ataufanya uadilifu wako ung’ae kama mapambazuko,Na haki yako kama jua la adhuhuri.