Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ 1 Petro 5:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue kwa wakati unaofaa,+ 7 huku mkitupa mahangaiko* yenu yote juu yake,+ kwa sababu yeye anawajali ninyi.+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue kwa wakati unaofaa,+ 7 huku mkitupa mahangaiko* yenu yote juu yake,+ kwa sababu yeye anawajali ninyi.+