Mwanzo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Mungu akatengeneza mianga miwili mikubwa, mwanga mkubwa zaidi wa kutawala mchana+ na mwanga mdogo wa kutawala usiku, na pia nyota.+ Zaburi 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Linachomoza kutoka mwisho mmoja wa mbingu,Nalo huzunguka mpaka mwisho mwingine;+Na hakuna chochote kinachojificha joto lake. Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
16 Ndipo Mungu akatengeneza mianga miwili mikubwa, mwanga mkubwa zaidi wa kutawala mchana+ na mwanga mdogo wa kutawala usiku, na pia nyota.+
6 Linachomoza kutoka mwisho mmoja wa mbingu,Nalo huzunguka mpaka mwisho mwingine;+Na hakuna chochote kinachojificha joto lake.
35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+