Mwanzo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza. Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako, na usiku pia. Uliumba nuru* na jua.+ Isaya 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninatengeneza nuru+ na kuumba giza,+Ninatokeza amani+ na kuumba msiba;+Mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.
5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
7 Ninatengeneza nuru+ na kuumba giza,+Ninatokeza amani+ na kuumba msiba;+Mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.