Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nichunguze, Ee Yehova, na unijaribu;

      Safisha mawazo yangu ya ndani kabisa* na pia moyo wangu.+

  • Malaki 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha,+ naye atawatakasa wana wa Lawi; atawasafisha kama dhahabu na kama fedha, nao hakika watakuwa watu wanaomtolea Yehova zawadi kwa uadilifu.

  • 1 Petro 1:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa sababu ya jambo hilo mnashangilia sana, ingawa kwa muda mfupi, ikiwa ni lazima, mmehuzunishwa kwa majaribu mbalimbali,+ 7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani yenu,+ iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa inajaribiwa* kwa moto, ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo wa Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki